Dkt. Shein Ahudhuria Sherehe za Kuapishwa Rais Mpya wa Muungano wa Comoro Leo.
Rais wa Muungano wa Comoro Kanali Azali Assoumani Boinakheri akiapishwa na Jaji wa Mahakama ya Katiba Loutfi Soulaimaine (wa tatu kushoto) katika uwanja wa Mpira Mjini Ngazija nchini Comoro leo kufuatia ushindi alioupata baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika April 10, 2016 na uchaguzi wa marudio Mei 11 mwaka huu.
Rais wa Muungano wa Comoro Kanali Azali Assoumani Boinakheri alipokuwa akiapishwa na Jaji wa Mahakama ya Katiba Loutfi Soulaimaine (hayupo pichani ) katika uwanja wa Mpira Mjini Ngazija nchini Comoro leo kufuatia ushindi alioupata baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika April 10, 2016 na uchaguzi wa marudio Mei 11 mwaka huu.
Rais wa Muungano wa Comoro Kanali Azali Assoumani Boinakheri (kulia) alipokuwa akiapishwa na Jaji wa Mahkama ya Katiba Loutfi Soulaimaine (wa pili kushoto) katika uwanja wa Mpira Mjini Ngazija nchini Comoro leo kufuatia ushindi alioupata baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika April 10, 2016 na uchaguzi wa marudio Mei 11 mwaka huu.
Rais mstaafu wa Muungano wa Comoro Dkt.Ikulilou Dhoinine akimkabidhi Bendera ya Nchi kama ishara ya kumakabidhi madaraka Rais Mpya wa Nchi hiyo Kanali Azali Assoumani Boinakheri (kushoto) baada ya kushinda katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika April 10, 2016 na uchaguzi wa marudio Mei 11 mwaka huu, sherehe ya kuapishwa Rais huyo ilifanyika leo katika Uwanja wa Mpira Mjini Ngazija nchini Comoro.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi mbali mbali alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli katika sherehe ya kuapishwa Rais mpya wa Muungano wa Comoro Kanali Azali Assoumani Boinakheri, baada ya kushinda katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika April 10, 2016 na uchaguzi wa marudio Mei 11 mwaka huu, katika Uwanja wa Mpira Mjini Ngazija nchini Comoro leo.
Wageni mbali mbali na Viongozi wa nchi ya Comoro wakiwa katika sherehe ya kuapishwa Rais Mpya wa Nchi hiyo Kanali Azali Assoumani Boinakheri (kushoto) baada ya kushinda katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika April 10, 2016 na uchaguzi wa marudio Mei 11 mwaka huu, sherehe ya kuapishwa Rais huyo ilifanyika leo katika Uwanja wa Mpira Mjini Ngazija nchini Comoro.
