Mabalozi wapya wa nchi mbalimbali watembelea Ofisi za Ubalozi
Mabalozi wa Czech na Zimbabwe wamtembelea Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana ofisini kwake na kujadiliana kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano.
Read MoreMabalozi wa Czech na Zimbabwe wamtembelea Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana ofisini kwake na kujadiliana kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano.
Read MoreUjumbe wa wafanyabiashara kutoka Tanzania uliwasili Visiwani Comoro kwa ajili ya kushiriki mkutano wa wafanyabiashara baina ya nchi hizo mbili (B2B Meeting) uliofanyika kuanzia tarehe 09-11 Julai, 2019.…
Read MoreLeo tarehe 27 Juni, 2019 Mhe. Sylvester M. Mabumba, Balozi wa Tanzania Visiwani Comoro ameenza ziara rasmi ya kikazi ya siku 4 katika Kisiwa cha Anjouan. Wakati akiwa Kisiwani Anjouan Mhe. Balozi anatarajiwa…
Read MoreKaimu Balozi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro, Bw. Thabit A. Khamis alifanya kikao na ujumbe kutoka Benki ya Ushirika ya Comoro ijulikanayo kwa MECK (Mutuelle d’Epargne et de Credit ya Komor) – Moroni.…
Read MoreThis is to inform all Visa applicants and the general public that the United Republic of Tanzania has launched Online Visa Application System effective since 10th Jan, 2019. For those who wish to travel…
Read MoreNOTICE TO TRAVELLERS PLANNING TO VISIT TANZANIA
Read MoreMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alihudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Comoro Mhe. Azali Assoumani tarehe 26 Mei, 2019.Sherehe hizo zilifanyika katika Mji wa…
Read MoreMsanii wa kizazi kipya Mboso aliwasili Visiwani Comoro Tarehe 11 Aprili, 2019 ambapo alitarajiwa kufanya (show) ya aina yake Visiwani hapa tarehe 13 Aprili, 2019. Msanii huyo wa Bongo Fleva aliongozana na…
Read More